Watu wa mbari yangu wamekoma, Na rafiki zangu niwapendao wamenisahau.
Siyaandiki hayo ili kuwatahayarisha; bali kuwaonya kama watoto niwapendao.
Mzee, kwa mama mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na wote waijuao ile kweli;
Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.