Kisha wana wa Israeli wakasafiri, wakapanga marago Obothi.
Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika jangwa iliyoelekea Moabu, upande wa maawio ya jua.
Wakasafiri kutoka Punoni, wakapanga Obothi.
Wakasafiri kutoka Obothi, wakapanga Iye-abarimu, katika mpaka wa Moabu.