Skip to Content

"paitwapo"

6 mara katika SUV

Na walipofika mahali paitwapo Golgotha, yaani, Fuvu la kichwa,

Wakamleta mpaka mahali paitwapo Golgotha, yaani, Fuvu la kichwa.

Na walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, ndipo walipomsulibisha yeye, na wale wahalifu, mmoja upande wa kuume, na mmoja upande wa kushoto.

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.

Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha.

Wakawakusanya hata mahali paitwapo kwa Kiebrania, Har-Magedoni.