2 mara katika SUV
Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;
Na wana wa Yonathani; Pelethi, na Zaza. Hao ndio wana wa Yerameeli.