Skip to Content

"penueli"

5 mara katika SUV

Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.

Jua likamzukia akivuka Penueli, akachechemea kwa sababu ya paja la mguu wake.

Ndipo Yeroboamu akajenga Shekemu katika milima ya Efraimu, akakaa huko. Akatoka huko akajenga Penueli.

na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, babaye Bethlehemu.

na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.