na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.
na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo.
Siku hiyo kila mtu atazitupilia mbali sanamu zake za fedha, na sanamu zake za dhahabu, walizojifanyia ili kuziabudu, kwa fuko na popo;