Skip to Content

"praitorio"

5 mara katika SUV

Ndipo askari wa liwali wakamchukua Yesu ndani ya Praitorio,

Nao askari wakamchukua ndani ya behewa, ndiyo Praitorio (yaani, nyumba ya uliwali), wakakusanya pamoja kikosi kizima.

Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio,

Basi Pilato akaingia tena ndani ya Praitorio, akamwita Yesu, akamwambia, Je! Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?

Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetokapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lo lote.