Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Watu wa Uajemi na Ludi na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita; walitungika ngao na chapeo ndani yako; wakadhihirisha uzuri wako.
Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo;
Kushi na Misri walikuwa nguvu zake, nazo zilikuwa hazina mpaka; Putu na Walibia walikuwa wasaidizi wake.