Nikaapa kwa hasira yangu Wasiingie rahani mwangu.
Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.
Maana sisi tulioamini tunaingia katika raha ile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu:
na hapa napo, Hawataingia rahani mwangu.