Pelegi akaishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
Pelegi akaishi baada ya kumzaa Reu miaka mia mbili na kenda, akazaa wana, waume na wake.
Reu akaishi miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
Reu akaishi baada ya kumzaa Serugi miaka mia mbili na saba, akazaa wana, waume na wake.
na Eberi, na Pelegi, na Reu;