Skip to Content

"salmoni"

9 mara katika SUV

Basi Abimeleki akakwea kwenda kilima cha Salmoni, yeye na wote waliokuwa pamoja naye; naye Abimeleki akashika shoka mkononi mwake, akakata tawi moja katika miti, akalishika na kujitweka fuzini mwake; akawaambia hao watu waliokuwa pamoja naye, Haya, mliyoniona mimi kufanya, fanyeni upesi vivyo, kama nilivyofanya mimi.

na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;

na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;

na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;

Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

Mwenyezi Mungu alipotawanya wafalme huko, Kulinyesha theluji katika Salmoni.

Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;

Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;