Basi Abimeleki akakwea kwenda kilima cha Salmoni, yeye na wote waliokuwa pamoja naye; naye Abimeleki akashika shoka mkononi mwake, akakata tawi moja katika miti, akalishika na kujitweka fuzini mwake; akawaambia hao watu waliokuwa pamoja naye, Haya, mliyoniona mimi kufanya, fanyeni upesi vivyo, kama nilivyofanya mimi.
na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;
na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;
na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;
na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;
Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;
Mwenyezi Mungu alipotawanya wafalme huko, Kulinyesha theluji katika Salmoni.
Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;