Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho.
Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu;
Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa.
Je! Mashomoro watano hawauzwi kwa senti mbili? Wala hasahauliwi hata mmojawapo mbele za Mungu.
Nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho.
Akamwona mjane mmoja maskini akitia mle senti mbili.