Na jina la binti wa Asheri aliitwa Sera.
sawasawa na ile amri ya Bwana wakampa mji alioutaka, maana, ni Timnath-sera katika nchi ya vilima ya Efraimu; naye akaujenga huo mji na kukaa mumo.
Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na umbu lao, Sera.