Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, wala Bwana hakumchagua huyu.
Nao wale wana watatu wa Yese waliokuwa wakubwa walikuwa wamefuatana na Sauli kwenda vitani, na majina ya hao wanawe watatu waliokwenda vitani ni haya, mzaliwa wa kwanza Eliabu, na wa pili wake Abinadabu, na wa tatu Shama.
na Shama, Mharodi, na Elika, Mharodi;
Lakini Amnoni alikuwa na rafiki, jina lake Yonadabu, mwana wa Shama, nduguye Daudi; naye Yonadabu alikuwa mtu mwerevu sana.
Akajibu Yonadabu, mwana wa Shama, nduguye Daudi, akasema, Asidhani bwana wangu ya kwamba wamewaua vijana wote, wana wa mfalme; maana ndiye Amnoni peke yake aliyekufa; yakini haya yamekusudiwa kwa kinywa chake Absalomu tangu siku ile alipotenzwa nguvu umbu lake, Tamari.
Naye huyo alipowatukana Israeli, ndipo Yonathani, mwana wa Shama, nduguye Daudi, akamwua.
Na baada yake kulikuwa na Shama, mwana wa Agee, Mharari; nao Wafilisti walikuwa wamekusanyika huko Lehi, palipokuwapo konde lililojaa midengu; nao watu wakawakimbia Wafilisti;
mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;
Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.
na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;
na Bezeri, na Hodu, na Shama, na Shilsha, na Ithrani, na Beera.
Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;
wana wa Yasheni Mgiloni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri;