Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.
wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.
Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.
Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.
Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;
na mwanawe huyo ni Tahathi, na mwanawe huyo ni Urieli, na mwanawe huyo ni Uzia, na mwanawe huyo ni Shauli.
mwana wa Elkana, mwana wa Shauli, mwana wa Uzia, mwana wa Urieli;