Wana wa Gershomu; Shebueli mkuu wao.
Na wa wana wa Lawi, waliosalia; wa wana wa Amramu, Shebueli; wa wana wa Shebueli, Yedeya.
Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;
ya kumi na tatu Shebueli, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
na Shebueli, mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, alikuwa mtawala hazina zote.