Kwa maana Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakampiga, naye akafa; wakamzika pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na Amazia mwanawe akatawala mahali pake.
Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na umbu lao, Shua.
Na wana wa Shomeri; Ahi, na Roga, na Yehuba, na Aramu.