Nao watekaji wa nyara wakatoka katika marago ya hao Wafilisti, vikosi vitatu; kikosi kimoja kikageukia njia iendayo Ofra, mpaka nchi ya Shuali;
Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;
Wana wa Sofa; Sua, na Harneferi, na Shuali, na Beri, na Imra;
na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;