Skip to Content

"sibekai"

4 mara katika SUV

Ikawa baada ya hayo, kulikuwa na vita tena na Wafilisti huko Gobu; ndipo Sibekai, Mhushathi, alipomwua Safu, aliyekuwa mmojawapo wa Warefai.

na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

Akida wa nane wa mwezi wa nane alikuwa Sibekai, Mhushathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.