Skip to Content

"sikujiepusha"

6 mara katika SUV

Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikujiepusha nazo.

Wenye kiburi wamenidharau mno, Sikujiepusha na sheria zako.

Sikujiepusha na hukumu zako, Maana Wewe mwenyewe umenifundisha.

Wanaonifuatia na watesi wangu ni wengi, Lakini sikujiepusha na shuhuda zako.

ya kuwa sikujiepusha katika kuwatangazia neno lo lote liwezalo kuwafaa bali naliwafundisha waziwazi, na nyumba kwa nyumba,

Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.