Amenifanya niwe simo kwa watu; Nimekuwa mwenye kuchukiwa kwa wazi.
Na sasa mimi nimekuwa wimbo wao, Naam, nimekuwa simo kwao.
Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.