mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;
na Zanoa, na Enganimu, na Tapua, na Enamu;
na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka;
Kutoka hapo Tapua mpaka ukaendelea upande wa magharibi hata kijito cha Kana; na matokeo yake yalikuwa baharini. Huo ndio urithi wa hao wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao;
Na wana wa Hebroni; Kora, na Tapua, na Rekemu, na Shema.