Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake lapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.
Basi, kwa kuwa mna taraja la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;
Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Kristo Yesu, taraja letu;
bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya taraja letu mpaka mwisho.