Skip to Content

"tulipokuona"

4 mara katika SUV

Ndipo wenye haki watakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona una njaa, tukakulisha, au una kiu tukakunywesha?

Tena ni lini tulipokuona u mgeni, tukakukaribisha, au u uchi, tukakuvika?

Ni lini tena tulipokuona u mgonjwa, au kifungoni, tukakujia?

Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe una njaa, au una kiu, au u mgeni, au u uchi, au u mgonjwa, au u kifungoni, tusikuhudumie?