Heri mtu yule umchaguaye, Na kumkaribisha akae nyuani mwako. Na tushibe wema wa nyumba yako, Patakatifu pa hekalu lako.
Haya, na tushibe upendo hata asubuhi, Tujifurahishe nafsi zetu kwa mahaba.
Tumewapa hao Wamisri mkono; Na Waashuri nao, ili tushibe chakula.