Ee Mungu, uturudishe, Uangazishe uso wako nasi tutaokoka.
Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangazishe uso wako nasi tutaokoka.
Ee Bwana, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangazishe uso wako nasi tutaokoka.
Bali twaamini kwamba tutaokoka kwa neema ya Bwana Yesu vile vile kama wao.