Twaona haya kwa kuwa tumesikia mashutumu; Fedheha imetufunikiza nyuso zetu; Kwa sababu wageni wamepaingia Patakatifu pa nyumba ya Bwana.
Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.
Pande zote twadhikika, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;
Basi twaona ya kuwa hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.