Skip to Content

"twaona"

4 mara katika SUV

Twaona haya kwa kuwa tumesikia mashutumu; Fedheha imetufunikiza nyuso zetu; Kwa sababu wageni wamepaingia Patakatifu pa nyumba ya Bwana.

Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Pande zote twadhikika, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;

Basi twaona ya kuwa hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.