Skip to Content

"ujihadhari"

7 mara katika SUV

Ibrahimu akamwambia, Ujihadhari, usimrudishe mwanangu huko.

Mungu akamjia Labani, Mshami, katika ndoto ya usiku, akamwambia, Ujihadhari, usimwambie Yakobo neno la heri wala la shari.

Ninao uwezo mkononi mwangu wa kukufanyia madhara; lakini Mungu wa baba yako usiku huu ameniambia, akisema, Ujihadhari, usimwambie Yakobo neno la heri wala la shari.

Ujihadhari nafsi yako, usije ukafanya agano na wenyeji wa nchi ile unayoiendea, lisiwe mtego katikati yako.

Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;

Ila ujihadhari kwamba usile damu, kwani ile damu ndiyo uhai; na uhai usile pamoja na nyama.

Nawe ujihadhari na huyo, kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.