ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.
Ulitengeneza nafasi mbele yake, Nao ukatia mizizi sana ukaijaza nchi.