2 mara katika SUV
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.