Skip to Content

"uketiye"

4 mara katika SUV

Na Wewe U Mtakatifu, Uketiye juu ya sifa za Israeli.

Wewe uchungaye Israeli, usikie, Wewe umwongozaye Yusufu kama kundi; Wewe uketiye juu ya makerubi, utoe nuru.

Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.

ya kwamba, Sikia neno la Bwana, Ee mfalme wa Yuda; wewe uketiye katika kiti cha enzi cha Daudi, wewe, na watumishi wako, na watu wako wote waingiao kwa malango haya;