Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;
Akamwambia yule mtu mwenye mkono uliopooza, Simama katikati.
Lakini yeye akayatambua mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, Ondoka, simama katikati; akaondoka akasimama.