Skip to Content

"umefika"

5 mara katika SUV

Maua yatokea katika nchi, Wakati wa kupelea umefika, Na sauti ya mwigo husikiwa kwetu.

Msiba wa Moabu umefika karibu, Na mateso yake yanafanya haraka.

Maana akaaye Marothi ana utungu wa mema; Kwa kuwa msiba umeshuka toka kwa Bwana, Umefika mpaka lango la Yerusalemu.

Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.

Kwa maana, mimi sasa namiminwa, na wakati wa kufariki kwangu umefika.