Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
Maana umemfanya kuwa baraka za milele, Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako.
Kwa kuwa Wewe Bwana ndiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako.
Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;