Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
Maana umemsogezea baraka za heri, Umemvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.
Umezipunguza siku za ujana wake; Umemvika aibu.
Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;