Skip to Content

"umenena"

5 mara katika SUV

Musa akasema, Umenena vema; mimi sitakuangalia uso wako tena.

Tazama basi, nimefunua kinywa changu, Ulimi wangu umenena kinywani mwangu.

Hakika umenena masikioni mwangu, Nami nimesikia sauti ya maneno yako, ukisema,

Basi Bwana asema hivi, Tazama, nakutuma uende zako toka juu ya uso wa nchi; mwaka huu utakufa, kwa sababu umenena maneno ya uasi juu ya Bwana.

ukaseme, Ee Bwana, umenena habari za mji huu kwamba utakatiliwa mbali, usikaliwe na awaye yote, wala wanadamu wala wanyama, lakini uwe ukiwa hata milele.