Skip to Content

"umesamehewa"

5 mara katika SUV

Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.

Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende?

Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.

Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?

Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.