Skip to Content

"umtendee"

5 mara katika SUV

Basi kwa hiyo usimwachilie, kwa kuwa wewe u mtu wa akili; nawe utajua ikupasayo umtendee, na mvi zake utazishusha Ahera pamoja na damu.

Umtendee mtumishi wako ukarimu, Nipate kuishi, nami nitalitii neno lako.

Kama zilivyo rehema zako umtendee mtumishi wako, Na amri zako unifundishe.

Mtwae, umtunze sana, wala usimtende neno baya lo lote; lakini umtendee kama atakavyokuambia.

Nao walipofika kwa Yesu, walimsihi sana wakisema, Amestahili huyu umtendee neno hili;