umwangalie kwa wema katika kundi lako, na sakafu yako ya nafaka, na kinu chako cha divai; mpe kama alivyokubarikia Bwana, Mungu wako.
Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.
Ee Bwana, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?
Na tazama, mtu mmoja katika mkutano alipaza sauti, akisema, Mwalimu, nakuomba umwangalie mwanangu; kwa kuwa yeye ni mwanangu pekee.
Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?