Skip to Content

"unifanyie"

6 mara katika SUV

Binti yake akamwambia, Baba yangu, wewe umemfunulia Bwana kinywa chako; basi unifanyie sawasawa na hayo yaliyotoka kinywani mwako; kwa kuwa yeye Bwana amekulipia kisasi juu ya adui zako, hao wana wa Amoni.

Eliya akamwambia, Usiogope; enenda ukafanye kama ulivyosema; lakini unifanyie kwanza mkate mdogo ukaniletee; kisha ujifanyie nafsi yako na mwanao.

Katika shida za moyo wangu unifanyie nafasi, Na kunitoa katika dhiki zangu.

Ila mimi nitakwenda kwa ukamilifu wangu; Unikomboe, unifanyie fadhili.

Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.

Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, Bwana, Umenisaidia na kunifariji.