Skip to Content

"uniitikie"

3 mara katika SUV

Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Umenifanyizia nafasi wakati wa shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.

Ee Bwana, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti.

Ili wapenzi wako waopolewe, Uokoe kwa mkono wako wa kuume, uniitikie.