3 mara katika SUV
Unilinde nafsi yangu na kuniponya, Nisiaibike, maana nakukimbilia Wewe.
Mungu, uisikie sauti yangu katika malalamiko yangu; Unilinde uhai wangu na hofu ya adui.
Unilinde na mtego walionitegea, Na matanzi yao watendao maovu.