Skip to Content

"uniongoze"

3 mara katika SUV

Bwana, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uisawazishe njia yako mbele ya uso wangu,

Uniongoze katika kweli yako, Na kunifundisha. Maana Wewe ndiwe Mungu wa wokovu wangu, Nakungoja Wewe mchana kutwa.

Ndiwe genge langu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunge.