Skip to Content

"uniponye"

16 mara katika SUV

Bwana, unifadhili, maana ninanyauka; Bwana, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.

Uniponye nafsi yangu na upanga, Mpenzi wangu na nguvu za mbwa.

Nimekukimbilia Wewe, Bwana, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye,

Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.

Nami nalisema, Bwana, unifadhili, Uniponye roho yangu maana nimekutenda dhambi.

Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na damu za watu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.

Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.

Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.

Uniponye kwa kunitoa matopeni, Wala usiniache nikazama. Na niponywe nao wanaonichukia, Na katika vilindi vya maji.

Dua yangu na ifike mbele zako, Uniponye sawasawa na ahadi yako.

Ukisikilize kilio changu, Kwa maana nimedhilika sana. Uniponye nao wanaonifuatia, Kwa maana wao ni hodari kuliko mimi.

Ee Bwana, uniponye na adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche.

Uinyoshe mikono yako toka juu, uniponye, Unitoe katika maji mengi, katika mkono wa wageni.

Uniponye, unitoe, Katika mkono wa wageni. Vinywa vyao vyasema visivyofaa, Na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.

Ee Bwana, kwa mambo hayo watu huishi; Na uhai wa roho yangu u katika hayo yote; Kwa hiyo uniponye na kunihuisha.

Uniponye, Ee Bwana, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.