Ikawa mfalme wa Israeli alipokuwa akipita ukutani, mwanamke mmoja akamwita akisema, Unisaidie, bwana wangu, mfalme.
Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.
Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa, Ee Bwana, unisaidie hima.
Ee Mungu, uniokoe, Ee Bwana, unisaidie hima.
Maagizo yako yote ni amini, Wananifuatia bure, unisaidie.
Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.
Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.