Skip to Content

"unisamehe"

5 mara katika SUV

Basi sasa, nakuomba, unisamehe dhambi yangu; rudi pamoja nami, nipate kumwabudu Bwana.

Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, Unisamehe uovu wangu, maana ni mwingi.

Utazame teso langu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote.

Wakaanza wote kutoa udhuru kwa nia moja. Wa kwanza alimwambia, Nimenunua shamba, sharti niende nikalitazame; tafadhali unisamehe.

Mwingine akasema, Nimenunua ng'ombe jozi tano, ninakwenda kuwajaribu; tafadhali unisamehe.