Skip to Content

"unisikilize"

5 mara katika SUV

Angalia sana, Ee Ayubu, unisikilize; Nyamaza, mimi nitasema.

Kama sivyo, unisikilize mimi; Nyamaza, nami nitakufunza hekima.

Unisikilize na kunijibu, Nimetanga-tanga nikilalama na kuugua.

Na sasa unisikilize, Ee bwana wangu mfalme; maombi yangu yakapate kibali mbele yako; usinirudishe nyumbani mwa Yonathani, mwandishi, nisije nikafa humo.

Hasa kwa sababu wewe unajua sana desturi na maswali yote waliyo nayo Wayahudi; kwa sababu hiyo nakuomba unisikilize kwa uvumilivu.