Angalia sana, Ee Ayubu, unisikilize; Nyamaza, mimi nitasema.
Kama sivyo, unisikilize mimi; Nyamaza, nami nitakufunza hekima.
Unisikilize na kunijibu, Nimetanga-tanga nikilalama na kuugua.
Na sasa unisikilize, Ee bwana wangu mfalme; maombi yangu yakapate kibali mbele yako; usinirudishe nyumbani mwa Yonathani, mwandishi, nisije nikafa humo.
Hasa kwa sababu wewe unajua sana desturi na maswali yote waliyo nayo Wayahudi; kwa sababu hiyo nakuomba unisikilize kwa uvumilivu.