Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na watu wa damu.
Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.
Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;
Ni afadhali usiweke nadhiri, Kuliko kuiweka usiiondoe.