Skip to Content

"usijitukuze"

2 mara katika SUV

Usijitukuze mbele ya uso wa mfalme; Wala usisimame mahali pa watu wakuu;

kusudi mti wo wote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu, naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi, kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.