Basi sasa pelekeni habari upesi kamwambieni Daudi ya kwamba, Usilale usiku huu karibu na vivuko vya jangwani; bali usikose kuvuka; asije akamezwa mfalme, na watu wote walio pamoja naye.
Nawe utajua ya kwamba hema yako ina salama; Na zizi lako utaliaua, wala usikose kitu.